Fresh Air NEWS

Orodha ya Majina ya Waliochaguliwa Kidato cha Tano na Vyuo 2024/2025

Orodha ya Majina ya Wanafunzi Waliochaguliwa Kidato cha Tano na Vyuo 2024-2025

Takribani Wahitimu 188,787 kati ya 197,426 waliofaulu mitihani ya kidato cha nne mwaka 2023/2024 wamechaguliwa kujiunga na masomo ya kidato cha tano pamoja na vyuo mbalimbali nchini Tanzania msimu wa mwaka 2024-2025.

BONYEZA MKOA HUSIKA HAPA

ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA
GEITA IRINGA KAGERA
KATAVI KIGOMA KILIMANJARO
LINDI MANYARA MARA
MBEYA MOROGORO MTWARA
MWANZA NJOMBE PWANI
RUKWA RUVUMA SHINYANGA
SIMIYU SINGIDA SONGWE
TABORA TANGA

KUMBUKA : Muhula wa Kwanza unatarajiwa kuanza Julai 1 Mwaka 2024 kwa waliochaguliwa kidato cha tano 2024 , Na kwa waliochaguliwa kwenda Vyuo, Watapewa Maelekezo Maalumu ya namna ya Kujiunga Na Vyuo Hivyo.

Leave a Comment