Hot Widget

Type Here to Get Search Results !

Baraka The Prince Amtukana Alikiba Kweupe

Akiongea na chanzo cha habari cha Bongo 5, Staa huyo wa Bongo Fleva Brakah the prince aliyatoa ya moyoni na kusema hamkubali kabisa na hampendi msanii mwenzake wa Bongo Fleva Alikiba

Sakata lilianza pale wakati Baraka The Prince ana pafomu alipomaliza mashabiki waliomba apafomu ngoma yake aliyomshirikisha @officialalikiba na kusema hataki kumsikia na @officialalikiba ni mpumbavu tu.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Below Post Ad